Translate

Thursday, April 5, 2012

PENZI LA MASHAKA ( SEHEMU YA SABA)

Baada ya kuagana saimon na Anita,Saimon anfika nyumbani na kukutana na mpenzi wake mwengine Jonas,akiwa nyumbani anamsubiri.(sasa endelea...) Jonas alikuwa mwenye furaha baada ya kumwona Saimon,akiwa amerejea nyumbani salama.Lakini Saimon,alikuwa mwenye kukerwa na uamuzi wa Jonas ,kukaa mpaka majira ya saa 5 usiku,akiwa anamsubiri.Lakini alijikaza kiume,kiasi kwamba Jonas ,akuelewa kitu gani ,anakifiki
ria Saimon ,kwa muda ule.Saimon akamwambia Jonas,twende chumban tukalale ,muda mwingi umeenda.Jonas akamuliza Saimon,itakuwaje mama yako,akiniona nimelala na wewe ndani ya chumba chako?Saimon akamjibu,usiwe na wasiwasi,niko tayari kwa lolote.Jonas akamwambia Saimon ,sawa twende tukalale.Wakaingia chumbani,kwa ajili ya kujipunzisha.Baada ya muda mfupi wakiwa wamelala kitandani,Ilikuwa mjira ya saa 5,Anita akampigia simu Saimon,simu ilikuwa inaita,Saimon akachukuwa taulo,na kuelekea bafuni,ili aweze kuongea vizuri na Anita.Jonas alipoona Saimon,anaelekea bafuni,akaenda kumfuata nyuma,kimya kimya,bila Saimon kujua.Jonas akajibanza pembeni mwa ukuta wa bafuni,lakini ilikuwa ni sehemu aliyokuwa akisikia maongezi ya simu vizuri.(nini kitatokea?tutaendelea baada ya muda kidogo)

No comments: