Translate

Sunday, April 1, 2012

PENZI LA MASHAKA ( SEHEMU YA PILI)

Katika sehemu iliyopita ,tumeona ,Saimon akirudi masomoni uingereza na kupokewa na mama yake pale mwalimu nyerere.Baada ya kupokewa,wakaelekea pale nyumbani sinza.(sasa endelea....) Saimon na jonas,walikuwa marafiki wakubwa,kabla ya saimon,kwenda masomoni uingereza.Saimon alikuwa na shauku ya kuanzisha uhusiano tena na jonas,baada ya kutengana kwa muda wa miaka minne,wakati alipokuwa masomoni uingereza.Saimoni akamuuliza jonas,tunaelekea wapi jioni hii ?Jonas akamjibu saimoni,popote utakapopenda tutakwenda,Saimoni akamwambia jonas,mimi naona bora ,tungekwenda kupunzika maeneo ya kunduchi beach.Jonas akamjibu saimoni,sawa saimoni,akatoka nje na kukodisha gari,Jonas akatoka njena wakaelekea maeneo ya kunduchi beach Waliwasili pale kunduchi,majira ya saa 12 jioni,na kupata maeneo ya kujipunzisha,kandokando ya ufukwe wa bahari,mbele kidogo ya hoteli ya kunduchi beachi.Waliweza kuongea kwa muda mrefu na kukumbushana katika enzi zile ,waliokuwa wakikutana ,kabla ya saimon,hajaenda kusoma uingereza. Maisha ya wawili hawa,walikuwa na upendo wa dhati,kutoka moyoni,Walipendana kikweli kweli,tokea moyoni.Saimoni akamwambia jonas,nategemea kuanza kazi,hivi karibuni katika kampuni moja hapa mjini,ila nilikuwa na mipango ,ya kufunga ndoa na wewe,ulikuwa unasemaje?Jonas akamjibu,Saimon,nitafurahi,kama itakuwa hivyo.Saimon alikuwa anampenda sana jonas,lakini sio kwa muda huu,lengo la kumdanganya jonas,ni kutaka kumrubuni kimapenzi jonas.Lakini katika mawazo yake Saimoni,anafikiria jengine.nini kitatokea?kuwa nami tena kesho,katika sehemu ya tatu.

No comments: